VIDEO: MTANDAO WA FEDHA HARAMU WABAINIKA KUWEPO TANZANIA...

VIDEO: MTANDAO WA FEDHA HARAMU WABAINIKA KUWEPO TANZANIA...

Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania

umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.