Lady Gaga atoa kava la utata la single yake mpya, 'Do What U Want' aliyomshirikisha R.Kelly


Lady Gaga atoa kava la utata la single yake mpya,

Lady Gaga ameonesha kava la wimbo wake mpya “Do What U Want” aliomshirikisha R. Kelly na ni utata mtupu.

Katika kava hilo, muimbaji huyo ameonekana akiwa amepigwa picha inayoonesha asset yake na nywele zake zikiwa zimesambaa kufunika mgongo wake wote.

Wimbo huo utakuwepo kwenye albam yake ijayo, ARTPOP, itakayoingia rasmi kwenye iTunes Jumatatu saa 6 usiku.

No comments: